Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Nishati Jadidifu
(TAREA), Mhandisi Mathew, akiwaonesha wanahabari Leo September 04,2015,asubuhi Solar Power panels
zinazotakiwa kuwa kwenye soko ambazo ni bora.
|
Ofisa
Uhusiano wa TBS, Roida Andusamile (kushoto), akizungumza katika mkutano na
waandishi wa habari Makao Makuu ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Ubungo
Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu shirika hilo kuanza msako mkali wa kuwabaini
wafanyabiashara wanaouza Umeme Nuru (Solar Power Panels), zilizochini ya
kiwango. Kulia ni Ofisa Viwango wa TBS,
Henry Massawe na Ofisa Udhibiti Ubora wa TBS, Ashura Katunzi.
SHIRIKA la viwango Tanzania limekuwa likifanya
ukaguziwa kushtukiza wa bidhaa zilizopo
sokoni na viwandani mara kwa mara, lengo likiwa niku hakikisha kuwa bidhaa hizo
zinakidhi matakwa ya kiwango cha bidhaa husika wakatiwote.
TBS
kwakushirikiana naTaasisya NishatiJadididu (TAREA) iliamua kufanya ukaguzi wa
kushtukiza kufuatia malalamiko mengi kuhusiana na ubora waVipande vya umeme nuru
katika soko la Tanzania na Jumla ya vipande vya umemenuru 1321 kutokaduka na
ghala la Regal Solar Ltd vilizuiwa kuuzwa; na 164 kutokaduka la Nishati
Electronics Ltd pia vilizuiwa kuuzwa baada ya ubora wake kutiliwashaka mpaka
matokeo ya maabara yatakapotoka....BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI JUU YA UKAGUZI HUO.
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo
na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia
tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
No comments:
Post a Comment