Tochi hizi
za kisasa kabisa zimesambazwa 400 mikoa yote ya Tanzania hivyo kila mkoa unatochi kadhaa za
teknolojia hii mpya. Kwa hiyo jiandae kukutana nazo huko Barabarani. |
6. Umbali wa kupima.
Tochi hii
mpya inaweza kupima umbali kuanzia mita 3 hadi mita 1829 yaani umbali zaidi ya
kilomita moja na nusu(1.5km).
Elimu hii kwa hisani ya :-Fungo
Augustus /RSA.
PAPO KWA PAPO Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630. |
No comments:
Post a Comment