![]() |
|
Askofu wa
Jimbo Katoliki la Moshi ,Mhashamu Baba Askofu Isaac Amani akikata utepe
kuashiria ufunguzi rasmi wa tawi jipya la Benki ya Mkombozi mjini Moshi.
|
![]() |
|
Muonekano wa Maeneo
tofauti ya Benki hiyo kwa ndani.
|
![]() |
|
Mashine za
ATM zilizoko katika Benki hiyo…Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya
Kaskazini.
|
![]() |
|
Wafanyakazi
wa Benki hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na Baba Askofu Isaac Aman mara
baada ya kufungua tawi hilo mjini Moshi...BOFYA HAPA KUTAZAMA PICHA ZAIDI.
PAPO KWA PAPO Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo
na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia
tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|














No comments:
Post a Comment