![]() |
|
Jeshi la
Polisi nchini Tanzania linawashikilia baadhi ya vijana wanaotuhumiwa kufanya
vurugu kwa kuwapora watu mali.
Kundi la
kihuni la vijana linalojulikana kama ''Panya Road'' lilifanya vurugu kwa
kuwapora watu mali zao na kwenye maduka ya mitaa mbalimbali jijini Dar es
Salaam, wiki iliyopita.
Msemaji wa
jeshi la Polisi nchini , Advera Bulimba amesema vijana 36 walikamatwa na
wanahojiwa.
Amefahamisha
kuwa vijana hao wanatarajiwa kufikishwa mahakamani uchunguzi ukikamilika.
Aidha
Msemaji wa Jeshi la Polisi amefafanua kuwa ''Panya Road'' ni vikundi vidogo
vidogo vya watoto wahuni wanaojiingiza katika vitendo vya uhalifu.
UNGANANASI KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia
tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Monday, January 05, 2015
Home
HABARI
SOMA HII:-Ni kuhsu ''Panya Road'' ni vikundi vidogo vidogo vya watoto wahuni …. wakamatwa kwa Uhalifu.
SOMA HII:-Ni kuhsu ''Panya Road'' ni vikundi vidogo vidogo vya watoto wahuni …. wakamatwa kwa Uhalifu.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.






No comments:
Post a Comment