PICHA:-Taswira Picha ya Shangwe Mkesha wa Mwaka Mpya 2015 Ngara na Paradise Hotel. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Thursday, January 01, 2015

demo-image

PICHA:-Taswira Picha ya Shangwe Mkesha wa Mwaka Mpya 2015 Ngara na Paradise Hotel.

.com/simgad/
DSCI7297

Mkurugenzi wa PARADISE HOTEL ya mjini Ngara,mkoani Kagera Bw.William (katikati) akigawa zawadi ya Utumishi bora kwa mmoja wa Wafanyakazi wa Hotel hiyo wakati Wafanyakazi na Wadau wa Huduma za Hotel hiyo walipoungana na  Watanzania wenzao na mataifa  mengine Duniani katika kusherekea mwaka mpya 2015 katika Ukumbi wa PARADISE mjini Ngara katika Halfa fupi ya FAMILIA DAY Desemba 31,2014 ilioandaliwa na PARADISE HOTEL kwenye ukumbi wa PARADISE mjini Ngara. 

Pamoja na Uongozi wa Hotel hiyo kutoa zawadi kwa wafanyakazi wake,kutoa fursa ya Ajira kwa Vijana mkoani Kagera ,amewataka Wafanyakazi hao kufanya kazi kwa bidii na weledi  ili kufika kwenye mafanikio mwaka 2015 ya kutoa Huduma bora Zaidi ya chakula kwa Wateja.

Amesema Hotel yao inatoa huduma mbalimbali za chakula kwa wakazi wa wilaya ya Ngara na Wageni sambamba na kuhudumia Mikutano mbalimbali,Makampuni,Mashuleni,Shughuli mbalimbali za Kiserikali na Harusi kwa gharama nafuu ambapo utaletewa ndani ya kilometa 5 kwa usafiri wa Hotel hiyo kwa bei hiyo hiyo ya Mahitaji ya Huduma.

WASILIANA NAO SASA:-Mkurugenzi- +255756044304 / +787370633.

EMAIL:- willema26@yahoo.com / rgtradingco1@gmail.com

DSCI7294

Akijibu risala iliyosomwa na wafanyakazi,Bw.William ameahidi kutatua changamoto ikiwa ni pamoja na kuongeza fursa Zaidi ya Ajira na Huduma za kisasa wakati watakapofungua Hotel yao ya Kisasa inayoelekea kukamilika na kufunguliwa mwaka huu 2015 eneo jirani na Magereza mjini Ngara.
DSCI7251
 
DSCI7257

DSCI7267

Pichani juu na chini ni  Wadau wa Huduma za Kihotel zinazotolewa na Hotel ya PARADISE ya Mjini Ngara walipoungana na  Watanzania wenzao na mataifa  mengine Duniani katika kusherekea mwaka mpya 2015 katika Ukumbi wa PARADISE mjini Ngara mkoani Kagera wakati wa Halfa fupi ya FAMILIA DAY 2014 Desemba 31,2014 uliyoandaliwa na PARADISE HOTEL ,kwenye Ukumbi wa PARADISE. 

DSCI7293

DSCI7245

Meneja wa Utawala na Fedha wa Hoteli ya PARADISE ya Mjini Ngara,Bi.Marry William akiwaongoza Wafanyakazi wa Hotel hiyo kugonga Chiaz  Meza kuu na Wageni Waalikwa....Pichani chini ni Seif Upupu aka Baba Na wa Radio Kwizera FM.
 DSCI7246

DSCI7247

Wadau wa huduma za Hotel ya PARADISE Mjini Ngara wakipongezana kwa CHIAZ wakati walipoungana na  Wafanyakazi wa Hotel hiyo  kusherekea mwaka mpya 2015 katika Ukumbi wa PARADISE mjini Ngara mkoani Kagera wakati wa Halfa fupi ya FAMILIA DAY 2014 Desemba 31,2014 ulioandaliwa na PARADISE HOTEL

DSCI7251

…….Meza kuu………

DSCI7252

DSCI7270

…….Wadau kwa Raha zao………

DSCI7271

…….Mdau Mama Nice na Shostito wake kulia nao walikuwepo………

DSCI7275

DSCI7283

…….Dj nae kwa furaha ya kuuona na kuuanza Mwaka 2015 akiwakilisha Mayanja Disco Soud kwa burudani rahaaaa ukumbini………

DSCI7287

Risala ikisomwa na Elizaberth Kamili akishirikiana na Charles Hangwa walitaja mafanikio toka PARADISE HOTEL ianzishwe mwaka 2009 ikiwa na wafanyakazi 6,sasa wako 12,walisema hotel imekua ikitoa huduma mbalimbali ya chakula kwa wakazi wa wilaya ya Ngara na wageni kutoka sehemu mbalimbali,kwa ubora wa hali ya juu jambo wanalojivunia kwa miaka 5 sasa.

CHANGAMOTO.

Waliomba Mkurugrnzi azidi kutoa ajira kwa Vijana ili wazidi kufanya kazi ya Huduma kwa ustadi Zaidi,kuwa na Majiko ya kisasa Zaidi ya umeme na gesi ili huduma zifanyike kwa wakati na ubora Zaidi,sambamba na kuongezewa Mishahara.

DSCI7314

Mkurugenzi wa PARADISE HOTEL,Bw.William akaongoza libeneke la kupata chakula kabla ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2015 saa 6:00 usiku.
 DSCI7315

DSCI7327

DSCI7329

DSCI7320

DSCI7324

DSCI7335

DSCI7320
UNGANANASI KATIKA  FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *