![]() |
|
Mshambuliaji
wa Yanga, Amis Tambwe, akiwa chini akijilaumu baada ya kukosa bao la wazi
katika mchezo wa Robo fainali ya Kombe la Mapinduzi 2015.
JKU ilitawala sehemu ya kiungo katika mchezo wa huo na Yanga SC
ilipitisha mashambulizi mengi kupitia kwa mawinga hatari, Simon Msuva na Andrey
Coutinho, lakini washambuliaji Amisi Tambwe na Kpah Sherman walishindwa
kufunga.
JKU sasa watacheza Nusu Fainali hapo Jumamosi Januari 10,2015 na Mtibwa Sugar ambao mapema jana Januari 08,2015 waliibwagwa Azam FC kwa Penati 7-6 baada ya Mechi yao ya kumalizika 1-1.
Nusu Fainali nyingine itakayochezwa Siku hiyo hiyo Jumamosi ni kati ya
Polisi ya Zanzibar na Simba SC.
Polisi waliwavua Ubingwa KCCA ya Uganda baada ya kutoka nao Sare 0-0 na
hatimae kushinda kwa Mikwaju ya Penati 5-4 mapema na Simba kuitwanga Taifa ya
Jang’ombe 4-0 .
UNGANANASI KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia
tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Friday, January 09, 2015
Home
MICHEZO
MAPINDUZI CUP 2015:- Nusu Fainali Januari 10,2015 baada ya Yanga SC na Azam FC kutupwa Nje.!
MAPINDUZI CUP 2015:- Nusu Fainali Januari 10,2015 baada ya Yanga SC na Azam FC kutupwa Nje.!
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.






No comments:
Post a Comment