AJALI/PICHA:-Mkia wa Ndege ya AirAsia QZ8501 wapatikana leo Januari 07,2015. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, January 07, 2015

AJALI/PICHA:-Mkia wa Ndege ya AirAsia QZ8501 wapatikana leo Januari 07,2015.

Mchoro wa mkia wa ndege ukionyesha kifaa cha kutunza kumbukumbu za ndege 'black box'.

Picha ikionyesha mabaki ya ndege ya AirAsia kutoka baharini.

MKIA wa Ndege ya AirAsia QZ8501 iliyopotea na watu 162, Desemba 28, mwaka jana 2014,umepatikana leo Januari 07,2015, katika Bahari ya Java, Indonesia.

Eneo la mkia ndipo kifaa cha kutunza kumbukumbu za ndege 'black box' kinapatikana na upatakianaji wake utasaidia wachunguzi kubaini chanzo cha ndege hiyo kupotea na kisha kuanguka baharini.

Ndege hiyo ilikuwa ikitokea Jiji la Surabaya nchini Indonesia kuelekea Singaporea. Mpaka sasa miili 40 imeopolewa kutoka baharini katika eneo ambalo ndege hiyo ilianguka.
Kikosi cha uokoaji kikikusanya baadhi ya mabaki ya ndege ya AirAsia.
 UNGANANASI KATIKA  FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad