Hakika hii staili ya uchezaji ya Msanii wa Bongo Fleva nchini-Recho kwenye tamasha la FIESTA 2014 akiwa jukwaani inahamasisha nini jamiii inayomtazama ???...Haifai kabisa. |
Hivi hakuna
jinsi nyingine ya uchezaji pasipo kuonyesha undani wa maumbile yetu? Au ndo
tunatumiwa pasipokujua? Eti kwa ajili ya visenti kiduchu? Haya nawaachieni
nyie!
|
Karibu
kwenye familia ya Makonda Blog na uzipokee Picha/Habari zote kwa kutumiwa Mchana
/Usiku baada tu ya kujiunga kwa kubonyeza hapa mtu wangu >>>BONYEZA HAPA.>>>Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
No comments:
Post a Comment