Prudence
Kibuka akitetea Kamati ya Miradi ambayo pia yeye ni mjumbe.
|
Wanachama
wakifuatilia Mkutano huo mkuu wa KPC uliofanyika Julai 04,2014 katika Ukumbi wa
Lake Hotel mjini Bukoba.
|
Antidius
Kalunde akitoa hoja ya kupigwa'stop'kwa watu wanaodai ni waandishi wa habari ambao
hutoka vyuoni na hupiga kambi ofisini bila uthibitisho wowote..Picha
Na:-Harakati News.
|
Ramadhani
Makonda ambaye ni Mwanachama na Mtangazaji wa Redio Kwizera na mmiliki wa Blog
ya Mwanawamakonda akichangia hoja baada ya kuwasilishwa kwa Taarifa ya
Utekelezaji kwa mwaka 2013/2014.
|
Pontian
Kaiza akilaumu kuwa anawekewa vikwazo katika utaratibu wa kuazima vitendea kazi.
|
No comments:
Post a Comment