Muonekano wa daraja jipya la
Rusumo linalojengwa kwa sasa ili kutumika kuunganisha nchini ya Tanzania na Rwanda baada ya Lile la awali kukaa kwa muda mrefu .
|
...Uwepo wa Maporomoko haya ya Rusumo ni raha kuyatazama........
|
Picha juu na Chini ni Jengo la Kituo cha Matangazo cha Radio Kwizera FM kinachorusha matangazo yake saa 24 kupitia 97.9 FM-Ngara,93.6 FM-Kibondo/Kakonko,94.2 FM-Kasulu/Buhigwe/Uvinza/Kigoma na kupitia mtandao wa Interneti(www.radiokwizera.com na www.radiostationstz.com)pamoja na Matangazo yake kuwa msaada mkubwa kwa Jamii lakini pia Jengo lake ni Kivutio tosha.
|
No comments:
Post a Comment