|
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye ni Mwanasheria
Mkuu Frederick Werema akitoa hoja wakati wa hafla ya
kuwaapisha wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Jana March 14,2014, Mjini Dodoma.
|
|
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba na aliyekuwa Mwenyekiti wa Muda wa Bunge
hilo Pandu Ameir Kificho akila kiapo cha kuwa Mjumbe wa Bunge Hilo Mbele ya
Mwenyekiti wa Bunge Hilo Samwel Sitta.
|
|
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Waziri Mkuu Bw. Mizengo Pinda akila
kiapo cha kuwa Mjumbe wa Bunge Hilo Mbele ya Mwenyekiti wa Bunge Hilo Samwel
Sitta.
|
|
Mjumbe wa
Bunge Maalum la Katiba Bw. Edward Lowassa akila kiapo cha kuwa Mjumbe wa Bunge
Hilo Mbele ya Mwenyekiti wa Bunge Hilo Samwel Sitta.
|
Aidha wajumbe hao zaidi ya 615 wa Bunge maalum la
katiba jana March 14,2014, wameanza kula viapo tayari kwa kuanza rasmi shughuli
ya kujadili rasimu ya katiba mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo siku ya Jumatatu March 17,2014, Mwenyekiti wa
Tume ya Mabadiliko ya katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba atawasilisha rasimu ya
katiba katika Bunge hilo, ambapo siku ya Jumatano Rais wa Jamuhuri ya Muungano
wa Tanzania atalihutubia kisha kulizindua Bunge hilo.







No comments:
Post a Comment