KAMPENI JIMBO LA CHALINZE:-Mgombea Ridhiwani na changamoto ya Ubovu wa barabara kirumbi –Chalinze. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, March 27, 2014

KAMPENI JIMBO LA CHALINZE:-Mgombea Ridhiwani na changamoto ya Ubovu wa barabara kirumbi –Chalinze.


Hii ndiyo hali halisi msafara wa viongozi hao ukielekea kijiji cha Kirumbi kwa ajili ya mkutano wa kampeni kijijini hapo.


Ukaguzi wa barabara ukifanyika kabla ya kupita.


Moja ya magari tuliyotumia likipita katika madimbwi makubwa.



Gari hili likiwa limekwama na likisukumwa ili kunasua katika dimbwi la matope.


Juhudi zikifanyika kunasua gari lililokwama.
Safari kuelekea kwenye magari


Hapa mambo yamekaa sawa tunakunja vifaa na kunang'oa nanga.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-KIBINDU-CHALINZE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad