Taswira ya Ajali ya Basi la Bunda Express Lagongana na Treni,Watu wanne wafariki Dunia eneo la Manyoni mkoani Singida. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, February 28, 2014

Taswira ya Ajali ya Basi la Bunda Express Lagongana na Treni,Watu wanne wafariki Dunia eneo la Manyoni mkoani Singida.


Basi la Bunda Express lililokuwa likitokea mkoani Dodoma kwenda Jijini Mwanza asubuhi ya leo Februari 28,2014, limegongana na Treni Eneo la Manyoni mkoani Singida.


Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka eneo la tukio,kinasema kuwa watu wanne wamefariki dunia na kadhaa kujeruhiwa.
Majeruhi Tayari wamepelekwa kwenye Hospitali ya Wilaya ya Manyoni.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad