Muwezeshaji wa semina hiyo ni Bw.Fili Karashani muandishi mkongwe wa Habari kutoka Dar es Salaam akiendelea na Darasa lake Juu ya Namna ya Uandishi wa Habari za Kiuchunguzi pamoja na Biashara.
|
Kikindi cha Majanga FM kikiendelea na majadiliano juu ya uandishi wa habari wakionekana hapo Wiliam Mapanju,Beatha Kisaka,Dotto Bahemu,Godwin Buchard,Erasmus Luziro na Saimon Dionizi.
|





Poa sana RK team, mbona simwoni Juventus Juvenary? Kila la kheri 2014.
ReplyDeleteNaitwa Bigie Anko,
mdau wa Rulenge