![]() |
Ajali mbaya imetokea
leo (Januari 20,2014) huko mkoani Singida na watu 13 wamefariki dunia baada ya magari
mawili kugongana uso kwa uso eneo la Isuna mkoani humo.
|
![]() |
Habari
zinasema ajali hiyo ilihusisha gari aina ya Toyota Noah na lori ambayo namba
zake za usajili hazikupatikana mara moja.
|








No comments:
Post a Comment