VPL 2013/2014:- Simba SC ni ushindi tuu sasa wajiimalisha kileleni mwa Ligi na Point 14. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, September 29, 2013

VPL 2013/2014:- Simba SC ni ushindi tuu sasa wajiimalisha kileleni mwa Ligi na Point 14.

Kikosi cha Simba SC.
Klabu ya Simba SC imeendeleza wimbi lake la ushindi katika mechi zake za Ligi kuu soka Vodacom Tanzania bara 2013/2014,baada yah ii leo kuwachapa wapinzani wao JKT Ruvu bao 2-0 katika mchezo huo uliochezwa (Septemba 29,2013) katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.


Mabao ya Simba SC leo yamefungwa  kwa njia ya  penati na  Amisi Tambwe dakika ya 25 na la goli la pili kupitiaa kwa Singano!!!!!! a.k.a Messi.

Hapo jana (Septemba 28,2013) Mabingwa Watetezi wa Ligi kuu soka Vodacom, Yanga SC walipata ushindi wao wa pili tangu Ligi ianze kwa kuichapa Ruvu Shooting Bao 1-0 huko Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.

Yanga walipata Bao lao hilo katika Dakika ya 63 Mfungaji akiwa Hamisi Kiiza alieunganisha krosi ya Mrisho Ngassa ambae leo ameichezea Yanga kwa mara ya kwanza tangu amalize Kifungo chake cha Mechi 6 na Kulipa Shilingi Milioni 45 kwa Simba kama alivyoamriwa na TFF.

Ushindi huu umeifanya Yanga ikamate Nafasi ya 3 sasa wakiwa na Pointi 9 kwa Mechi 6 wakiwa Pointi 1 nyuma ya Timu ya Pili Coastal Union ambao leo huko Mbeya walitoka Sare ya Bao 1-1 na Mbeya City.

Jumamosi Septemba 28,2013.

Yanga 1 Ruvu Shooting 0

Rhino Rangers 0 Kagera Sugar 0

Mbeya City 1 Coastal Union 1


Mgambo JKT 0 JKT Oljoro 0

VPL 2013/2014 –MSIMAMO.

NA
TIMU
P
W
D
L
GD
GF
POINTI
1
Simba SC
5
3
2
0
9
13
14
2
Kagera Sugar
6
3
2
1
4
7
11
3
Coastal Union
6
2
4
0
3
6
10
4
Yanga SC
6
2
3
1
4
10
9
5
JKT Ruvu
5
3
0
2
4
6
9
6
Azam FC
5
2
3
0
3
8
9
7
Ruvu Shooting
6
3
0
3
2
6
9
8
Mbeya City
6
1
5
0
1
7
8
9
Rhino Rangers
7
1
5
1
0
7
8
10
Mtibwa Sugar
5
1
3
1
-1
4
6
11
JKT Oljoro
6
1
2
3
-2
3
5
12
Mgambo JKT
6
1
2
3
-8
2
5
13
Prisons FC
5
0
3
2
-6
2
3
14
Ashanti United
6
0
1
5
-11
2
1

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad