..........Kama ...kawa....moja moto...moja prim......zikazungushwa hapo hapo mpakani....
|
Pamoja na vituko vyote vilivyoambatana na furaha ya kukutana ...ila hii ya Hamis Mkama....ilivunja rekodi na mrija wake...........
|
Ni....mwendo wa wadau hawa wa RK FM ...wa.....nani.....kamwaga pombe......yangu......naulizaaaaaaaaa.....
|
........taratibuuuuu..........Mwana wa Makonda......nilikuwepo kuwakilisha......kimiondoko .......ya.....nyuma yangu ni Kaimu fundi mkuu na Producer Yohana Bitta.
|
Ukafika muda wa msosi.......Daaaa........meza ilitakata ile mbaya....watu wakachichana ....kwa raha zao.....
|
Hapa ni kutafuta tuu.......Shabani Ndyamukama,Dotto J.Bahemu na mwisho kushoto Seif O.Upupu..
|
.......Hii nayo kutoka kwa Madam Joyce Ngallawa ilifunika ile mbaya .....ni mwendo wa Kiboda boda......haaaaaa......
|
Hapo sasa...si kumixing studioni tu....hata kulikwaito uwanjani.....jamaa wakajimwaga wakiongozwa na ...Omary Mbwambo....kufurahisha.......
|





No comments:
Post a Comment