![]() |
Neymar Da
Silva akiingia rasmi Camp Nou baada ya kufaulu vipimo leo (Juni 03,2013) hii na kujiunga na
Barcelona kwa mkataba wa miaka mitano.
|
FC Barcelona imemtambulisha rasmi mshambuliaji
wake mpya, Mbrazil Neymar baada ya kutua katika klabu hiyo leo(Juni 03,2013).
Mbrazil huyo
anaungana na wakali kama Lionel Messi, Xavi, Andres Iniesta na Daniel Alves
Barcelona akiwa anapewa nafasi ya kufuata nyayo za Wabrazil wengine waliotikisa
Ulaya.
No comments:
Post a Comment