Neymar Da Silva rasmi Camp Nou baada ya kufaulu vipimo na kujiunga na FC Barcelona kwa Mkataba wa Miaka Mitano. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Tuesday, June 04, 2013

demo-image

Neymar Da Silva rasmi Camp Nou baada ya kufaulu vipimo na kujiunga na FC Barcelona kwa Mkataba wa Miaka Mitano.

.com/simgad/
480922_10151782387114305_1688394702_n

Neymar Da Silva akiingia rasmi Camp Nou baada ya kufaulu vipimo leo (Juni 03,2013) hii na kujiunga na Barcelona kwa mkataba wa miaka mitano.

8448_10151782387064305_2009224385_n

296213_10151782387049305_500977377_n

375583_10151782387214305_55708330_n

421314_10151782387189305_1989356687_n

970280_10151782387044305_1011096487_n

419002_10151782387179305_503935363_n

934620_10151782387119305_406237103_n

970344_10151782387139305_306024870_n


article-2335095-1A200B38000005DC-536_634x434
FC  Barcelona imemtambulisha rasmi mshambuliaji wake mpya, Mbrazil Neymar baada ya kutua katika klabu hiyo leo(Juni 03,2013).



Mbrazil huyo anaungana na wakali kama Lionel Messi, Xavi, Andres Iniesta na Daniel Alves Barcelona akiwa anapewa nafasi ya kufuata nyayo za Wabrazil wengine waliotikisa Ulaya.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *