![]() |
| Wilfred Lwakatare. |
Mahakama ya
Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam
imekubali kumwachia Mkurugenzi wa Usalama wa Chama Cha Demokrasia na
Maendeleo(Chadema), Wilfred Lwakatare
kwa dhamana ya Shilingi 10Milioni leo(Juni
11,2013).
Lwakatare anakabiliwa na kesi ya kujaribu kumwekea sumu
Dennis Msaki.
Waliomuwekea
dhamana Lwakatare ni Madiwani wawili wa Chadema kutoka kata ya Kimara na Sinza.
Madiwani hao
wametakiwa kuhudhuria mahakamani kila kesi hiyo itakapotajwa.
|
Mkurugenzi
wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Lwakatare
akijadiliana jambo ndani ya mahakama na mtuhumiwa mwenzake, Ludovic.
|






No comments:
Post a Comment