Angalia Video ya Boti ya Mv Yarabi Tunusuru imezama na watu 9 wamefariki dunia, kumi na wawili hawajulikani walipo na sitini na wanne wameokolewa katika ziwa Tanganyika kutoka Kirando mkoani Rukwa kwenda Kongo DRC. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, January 06, 2013

Angalia Video ya Boti ya Mv Yarabi Tunusuru imezama na watu 9 wamefariki dunia, kumi na wawili hawajulikani walipo na sitini na wanne wameokolewa katika ziwa Tanganyika kutoka Kirando mkoani Rukwa kwenda Kongo DRC.


Watu tisa wamekufa , kumi na wawili hawajulikani walipo na sitini na wanne wameokolewa baada ya boti ya Mv Yarabi Tunusuru Waliyokuwa wakisafiria katika ziwa Tanganyika kutoka Kirando mkoani Rukwa kwenda Kongo DRC kupitia kupinduka na kuzama katika Kijiji cha Herembe wilayani Uvinza mkoani Kigoma Ijumaa usiku.

 



Source ITV.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad