
Wakati bado matapeli hao wanaeneleza mchakato wa kumpa somo huyo mama,akatokea msamalia mwema aakasaidia kumuelewesha kwa lugha nzuri kuwa jamaa wanataka kumuibia.
![]() |
Askari
Polisi wenye dhamana ya kulinda Usalama wa Raia na Mali zao wanafika eneo la
tukio.
|
![]() |
Umati mkubwa
wa mashuhuda wa tukio hili.
|
![]() |
Moja ya
mbinu wanayo itumia ni pamoja na kuonyesha kitambulisho hiki pichani chenye maneno ya kutamanisha wakati
lengo lao ni kurekebisha tamaa yako!!
|
Picha na :http://www.bukobawadau.blogspot.com
No comments:
Post a Comment