Aidha
akiwa wilayani Ngara mkoani Kagera Waziri wa Africa Mashariki Bw.Samweli Sitta
amesema kitendo cha mipaka baina ya Tanzania na nchi , kufanya kazi kwa saa 12
kinadumaza maendeleo katika jumuiya hiyo
ya EAC.
Waziri
Sitta amesema hayo leo wakati akizungumza na kamati ya ulinzi na usalaama ya wilaya
ya Ngara katika ofisi ya mkuu wa wilaya na kwamba mipaka hiyo inapaswa kufanya
kazi kwa saa 24 ili kurahisisha biashara katika nchi hizo.
Katika
hatua nyingine Bw Sitta ameipongeza kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya
Ngara mkoani Kagera kwa kukabiliana na vitendo vya uharifu ikiwemo ujambazi wa
kutumia silaha.
Na:Mwana wa
Makonda na Bukoba wadau.
No comments:
Post a Comment