Joseph
Mapunda ana sema upendo ni upendo amempenda mama na anaishi kindoa wamependana
nyie watu mnataka nini kwetu ?
|
Mama
Condorada Ngonyani mwenye umuri wa miaka 70 ambaye ana ishi kinyumba na mtoto
wake watatu wa kumzaa mwenyewe kama Mke na Mume hapo anaonekana akisononeka kwa
nini jamii iingilie ndoa yake
|
Mama Condorada |
Mama
Condorada Ngonyani anasema mara baada ya kufariki mume wake Mzee Mapunda alimchagua
mtoto wake amrithi baba yake.
Kwa mkoa wa
Ruvuma hii ni mara ya kwanza mtoto wa kiume Joseph Mapunda pichani hapo juu
kutembea na mama yake mzazi. Wana Ruvuma wanauliza tume wapi watanzani hadi
kupoteza mila desturi na maadili ya mtanzania pia kukiuka sheria za dini.
Flora Ndembo |
Aidha Umati
wa watu uliofurika kwa Mganga wa Jadi Flora Ndembo Namabengo wilaya ya Namtumbo
Mkoani Ruvuma watu wapatao 400 wameomba Serikali ichukue Mkondo wa Sheria pia
Mtoto wa Pili wa Mama Kondrada Ngonyani ameomba Serikali ichukue hatua za
kisheria dhidi ya Condorada Ngonyani na Joseph Mapunda.
Chanzo:Songea Habari
No comments:
Post a Comment