![]() |
|
Muonekano wa Ujenzi wa Shule ya Sekondari Ihungo kwa sasa.Picha Na Faustin Rutta-Bukoba.
Serikali ya
Tanzania ilichukua Uamuzi wa kuijenga shule hiyo ya Ihungo Sekondari upya iliyoharibiwa
na tetemeko la ardhi la 10 Septemba mwaka 2016, ambapo lilipelekea Serikali kuifunga
na kuwahamisha wanafunzi waliokuwa wanasomea katika shule hiyo ya Sekondari
Ihungo na ile ya Nyakato ili waweze kuendelea na masomo wakati shule zao
zinajengwa upya.
|

![]() |
|
Kukamilika
Ujenzi wa Shule hizo,Utaifanya kuwa na Muonekano mzuri wa Kuvutia kama Pichani Majengo yake Yanavyoonekana.
|









No comments:
Post a Comment