![]() |
|
Kwa matokeo
hayo sasa Yanga SC wanakuwa wanaongoza msimamo wa Ligi Kuu kwa kuwa na jumla ya
point 17 sawa na Mtibwa Sugar ikiwa na Alama 17 pia wakipishana kwa tofauti ya magoli, kesho Jumapili
November 5,2017 ni zamu ya wekundu wa Msimbazi Simba SC kucheza dhidi ya Mbeya
City katika uwanja wa Sokoine.
|
![]() |
|
Kikosi cha
Singida United.
Sare hiyo inaifanya
Singida United kufikisha pointi 14 baada ya mechi tisa pia.
|
![]() |
|
Matokeo ya
Michezo mingine ya Leo ni kama ifatavyo,Hapo Juu.
|
![]() |
|
Kikosi cha Yanga
SC.
|










No comments:
Post a Comment