Heri ya Kumbukizi ya Kuzaliwa Rais wangu Dkt. John Pombe Magufuli. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, October 29, 2017

Heri ya Kumbukizi ya Kuzaliwa Rais wangu Dkt. John Pombe Magufuli.


Rais wa Tanzania ,Dkt. John Pombe Magufuli.

Tarehe kama ya leo, October  29, 1959, Rais  mteule wa Taifa la Tanzania,Dkt. John Pombe Magufuli alizaliwa. 

 MakondaMedia , Inamtakia heri ya siku ya kuzaliwa. Mwenyezi Mungu akulinde, akupe afya njema na kuendelea kuwatumikia Watanzania katika kipindi cha Uongozi wako.

 Rais Magufuli alishinda Urais wa Tanzania October 25, 2015 akijipatia kura 8,882,935 ikiwa ni aslimia 58.46 huku mpinzani wake wa karibu Edward Lowassa wa chama cha CHADEMA akijipatia kura 6,072,848 ikiwa ni asilimia 39.97 ya kura zote.


Kwenye uchaguzi huo mkuu, kati ya wapiga kura 23,161,440 waliojiandikisha, ni 15,589,639 waliopiga kura, ambao ni asilimia 67.31 ya wapiga kura wote. 

Kura 402,248 ziliharibika.

HAPA CHINI NIMEKUWEKEA BAADHI YA VIONGOZI WALIOJITOKEZA KUMTAKIA HERI RAIS MAGUFULI KUPITIA AKAUNTI ZAO ZA MITANDAO YA KIJAMII.




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad