|
Mshindi wa nne:
Tanzania Prisons ya Mbeya (Tsh.23,241,635)
|
|
2. Mshindi wa tatu: Simba SC ya Dar es
Salaam (Tsh. 29,052,044)
|
|
3. Mshindi wa pili:
Azam FC ya Dar es Salaam (Tsh. 40,000,000)
|
|
4. Bingwa wa ligi kuu 2015/2016:
Yanga SC ya Dar es Salaam (Tsh.
40,672,861)
|
|
5.Mshambuliaji wa
zamani wa kimataifa nchini, Mohammed Hussein 'Mmachinga' akimkabidhi tuzo ya Mfungaji bora wa msimu wa 2015/2016, Amis Tambwe Tsh.
5,742,940)-alifunga magoli 21 magoli mawili mbele ya mpinzani wake Hamisi Kiiza
aliyefunga magoli 19.
|
|
6. Timu yenye nidhamu:
Mtibwa Sugar ya Morogoro (Tsh. 17,228.820)
|
|
7. Rais wa zamani wa
TFF, Wakili Said El Maamry (kulia) akimkabidhi Ngole Mwangole tuzo ya Mwamuzi
bora (Tsh. 5,742,940).
Walioingia katika
kinyang’anyiro hicho ni Anthony Kayombo, Ngole Mwangole na Rajab Mrope.
|
|
Kipa bora wa zamani,
Mwameja Mohammed (kushoto) akimkabidhi tuzo ya Kipa Bora wa Ligi Kuu, Aishi
Manula (kulia) Azam FC (Tsh. 5,742,940)
Majina yaliyopendekezwa
kuwania tuzo hiyo ni Aishi Manula (Azam FC) Beno Kakolanya (Tanzania Prisons) na
Deogratius Munishi (Yanga SC).
|
|
Hans van der Pluim (Yanga SC (8,000,000) akipunga
mkono baada ya kukabidhiwa tuzo yake ya Kocha Bora wa Ligi Kuu.
Waliokuwa wakipambana
kuwania tuzo ya kocha bora wa msimu uliopita ni Hans Van Pluijm (Yanga), Mecky
Maxime (Mtibwa Sugar) na Salum Mayanga (Tanzania Prisons).
|
|
Rais wa TFF, Jamal
Malinzi akimkabidhi mfano wa Hundi, Thabani Kamusoko (Yanga) (Tsh. 5,742,940),aliyeongozana
na mkewe Bongile Sibanda (kushoto) na mwanawe, Shanna Lee, Tuzo ya Mchezaji bora
wa kigeni .
Waliongia kwenye orodha
ya tuzo ya mchezaji bora wa kigeni ni Donald Ngoma (Yanga), Thabani Kamusoko
(Yanga) na Vincent Agban (Simba).
|
|
Ofisa Mkuu wa Masoko wa
Vodacom, Ashutosh Tiwary akimkabidhi Mohammed Hussein 'Tshabalala' (Simba SC ) (Tsh. 4,000,000) mfano wa Hundi kwa kuwa
Mchezaji Bora Chipukizi.
Waliokuwa wakiwania
tuzo hiyo ni Farid Mussa (Azam), Mohamed Hussein (Simba), Mzamiru Yasin (Mtibwa
Sugar) na Shiza Kichuya (Mtibwa Sugar).
|
|
Washindi wote wa tuzo za Ligi Kuu Vodacom Tanzania bara 2015/2016, kutoka
kulia Tshabalala, Kamusoko, Tambwe, Juma Abdul, Aishi Manula na Hajib.
Goli bora la msimu
2015/2016: tuzo imekwenda kwa Ibrahimu Ajib (Simba SC (Tsh. 3,000,000).
Ajib alikuwa akipambana
na Amis Tambwe (Yanga) katika kuwania tuzo ya goli bora la msimu 2015-16.
|





No comments:
Post a Comment