TASWIRA PICHA:-Ajali mbili zatokea wilayani Bagamoyo-Pwani. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, August 06, 2015

TASWIRA PICHA:-Ajali mbili zatokea wilayani Bagamoyo-Pwani.

Lori la Scania T 986 likiwa limeanguka mbele kidogo  ya eneo la Msata, barabara ya kuelekea Tanga na Arusha.

Mwonekano wa mbele wa gari hilo.


Picha juu na chini ni Wananchi wakitazama gari la Fuso lililoanguka likiwa na shehena ya makreti ya bia.


Hapa ni makutano ya barabara ya Kiwangwa na Bagamoyo.

Magari mawili jana yalipata ajali katika Wilaya ya Bagamoyo, Pwani ikiwa ni gari aina ya Scania T 986 ASG lililoanguka eneo la Msata na gari la aina ya Fuso T 945 BHZ lilioloanguka maeneo ya makutano ya barabara ya Kiwangwa na Bagamoyo baada ya kufeli kukata kona likiwa limebeba kreti za bia.

(NA DENIS MTIMA/GPL)

Pata Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori inayonifikia wakati  wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad