Kanisa katoliki limewataka wajumbe wa bunge la katiba wanaounda umoja wa
katiba ya wananchi Ukawa kurudi bungeni na kuendelea kuijadili rasimu ya pili
ya katiba bila masharti yoyote huku bunge hilo likitahadharishwa na upotoshwaji
au uchakachuaji wowote utakaofanywa dhidi ya rasimu hiyo ambayo ni maoni
yaliyokusanywa kutoka kwa wananchi.
katiba ya wananchi Ukawa kurudi bungeni na kuendelea kuijadili rasimu ya pili
ya katiba bila masharti yoyote huku bunge hilo likitahadharishwa na upotoshwaji
au uchakachuaji wowote utakaofanywa dhidi ya rasimu hiyo ambayo ni maoni
yaliyokusanywa kutoka kwa wananchi.
Kanisa katoliki limewataka wajumbe wa bunge la katiba wanaounda umoja wa
katiba ya wananchi Ukawa kurudi bungeni na kuendelea kuijadili rasimu ya pili
ya katiba bila masharti yoyote huku bunge hilo likitahadharishwa na upotoshwaji
au uchakachuaji wowote utakaofanywa dhidi ya rasimu hiyo ambayo ni maoni
yaliyokusanywa kutoka kwa wananchi.
katiba ya wananchi Ukawa kurudi bungeni na kuendelea kuijadili rasimu ya pili
ya katiba bila masharti yoyote huku bunge hilo likitahadharishwa na upotoshwaji
au uchakachuaji wowote utakaofanywa dhidi ya rasimu hiyo ambayo ni maoni
yaliyokusanywa kutoka kwa wananchi.
–ITV
No comments:
Post a Comment