![]() |
|
Mchezo wa
Kirafiki wa Kimataifa kati ya Ngara Starz (Ngara Tanzania) v/s Lion FC ya
(Buhinda Burundi) mchezo ukikichezwa uwanja wa Kobero -Burundi na Ngara Starz kuchapwa
bao 2-0 ugenini na Nyumbani.
|
![]() |
|
Kikosi cha
wachezaji 11 wa Ngara Starz (wilayani Ngara mkoani kagera Tanzania wakiwa na Kocha wao Mwl.Said Salumu mwenye track suit nyeusi.
|
![]() |
|
Hiki ndicho
Kikosi cha wachezaji 11 wa Lion FC ya Buhinda –Burundi wakiwafunga Ngara
Starz bao 2-0.
|
![]() |
|
Kikosi cha Lion FC ya Buhinda –Burundi wakifanya mazoezi mepesi kabla ya kuanza mchezo huo katika uwanja wa Kobero-Burundi.
|
![]() |
|
Kikosi cha Ngara
Starz katika Mazoezi Mepesi kabla ya Mchezo.
|
![]() |
|
Hawa ndio marefali waliochezesha mchezo huo kati ya Lion FC ya Buhinda –Burundi wakiwafunga Ngara
Starz bao 2-0.
|
![]() |
|
Mkuu wa wilaya ya Buhinda akisalimiana na wachezaji wa Ngara Starz.
|
![]() |
|
Diwani wa Kata ya Ngara Mjini CCM-Chalz Kwizera Rujuba akisalimiana na Wachezaji huku mwenye Jezi nyekundu ni Diwani wa Viti maalumu CCM-Tarafa ya Kanazi.
|
![]() |
|
Afisa Elimu wilaya ya Ngara -Saimon Mumbee nae alikuwepo na ni mmoja ya mdau mkubwa wa Michezo.
|
![]() |
|
Benchi la wachezaji wa Ngara
Starz .
|
![]() |
| Benchi la wachezaji wa Lion FC . |
![]() |
| Afisa Utumishi Wilaya ya Ngara (mwenye flana ya kaki)akifatilia mchezo huo katika uwanja wa Kobero-Burundi ambapo Ngara Starz walifungwa bao 2-0 na Lion FC.. |
![]() |
| Mwenye suti nyeusi ni Mwenyekiti wa chama tawala nchini Burundi cha CNDD FDD mkoa wa Muyinga. |
![]() |
| Mashabiki mbalimbali wakifatilia mchezo huo uwanjani kobero. |
![]() |
| Baada ya kuwashinda bao 2-0 Ngara Starz-Lion FC wakakabidhiwa Kikombe na Mkuu wa Mkoa wa Muyinga nchini Burundi. |




























No comments:
Post a Comment