![]() |
Mchezaji wa kimataifa wa timu ya Simba kutoka nchini Zambia Felix Sunzu akichuana vikali na beki wa timu ya Azam FC katika mchezo huo. |
Simba ndio walitangulia kufunga bao la kwanza kupitia Felix Sunzu na Azam wakasawazisha kwa bao la Mcha katika Dakika ya 45.
Kipindi cha Pili Azam wakafunga Bao la Pili kupitia John Bocco na Simba kurudisha kwa Penati ya Mwinyi Kazimoto.
![]() |
Ubao wa matangazo ukionyesha Simba 5 Azam FC 3 kwenye uwanja wa Taifa. |
![]() |
Wachezaji wa timu ya Simba wakimnyanyua juu juu golikipa wao Juma K. Juma baada ya kupangua penati mbili katika mchezo huo uliokuwa wa fainali katika michuano ya Urafiki. |
Kwa ushindi huu, Simba wamenyakua Zawadi ya Shilingi Milioni 10 na Azam kupewa Milioni 5.
![]() |
Wachezaji wa timu ya Simba wakishangilia mara baada ya kuifunga timu ya Azam FC kwenye uwanja wa Taifa. |
![]() |
Mashabiki wa timu ya Simba wakishangilia timu yao. |
![]() |
Mashabiki wa timu ya Azam FC wakishangilia timu yao. |
Kikosi cha Azama kilichoanza. |
Kikosi cha Simba kilichoanza. |













No comments:
Post a Comment