![]() |
|
![]() |
Sherehe hiyo ilihudhuliwa na wanafunzi wote wa chuo hicho pamoja na dada yake bi harusi,mpwa wake na rafiki yake kipenzi. |
Mwalimu
wa chuo cha kufundisha kucheza ngoma cha Boogie Katie Shoes Dance Academy cha
huko katika Mji wa Harwich, Essex,nchini Uingereza Katie Dalby amefunga ndoa na
kusimamiwa na wasimamizi 80 ambao ni wanafunzi wake.
Mwalimu
huyo mwenye umri wa miaka 26 amefunga ndoa na mumewe Fireman Norman Gooch
mwenye umri wa miaka 37 ambaye ni mwanajeshi.
Sherehe hiyo
ilihudhuliwa na wanafunzi wote wa chuo hicho pamoja na dada yake bi harusi,mpwa
wake na rafiki yake kipenzi.
‘Niliwaambia
wanafunzi wangu kuwa nafunga ndoa na walifurahi sana kila mtu alikuwa na
msisimko wa ajabu,baadhi yao walikuwa wakiniuliza ni lini ningefunga
ndoa’alisema Miss Dalby.
Ambapo
wasimamizi walivaa sare magauni yenye rangi ya pink na viatu nyeupe.
No comments:
Post a Comment