![]() |
‘’Kutokana na Mvua zinazonyesha sasa maeneo mengi nchini, hali ni Mbaya barabara ya Nyakanazi(Kagera)
kwenda Kakonko (Kigoma), mamia ya wasafiri wamekuwa wakipata changamoto eneo
hilo baada ya kukwama wakitokea maeneo mbalimbali nchini hususani Kigoma,
Mwanza, Kahama na Kagera. Bila shaka TANROAD wanapaswa kuitazama kwa ukaribu
barabara hii wakati kasi ya mkandarasi wa barabara hii kutoka Nyakanazi hadi
Kabingo akiendeleza kujenga kwa kasi ndogo sana’’-Prosper Laurent Kwigize.
|
Thursday, March 29, 2018
Hali ya barabara ya Nyakanazi(Kagera) kwenda Kakonko (Kigoma).
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.







No comments:
Post a Comment