Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na
viongozi wengine akikata utepe kuzindua
barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa
kilimanjaro (KIA) katika mkoa wa Kilimanjaro hadi Mererani mkoani Manyara leo
Septemba 20, 2017.
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi
baada ya kuzindua barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege wa
kimataifa wa kilimanjaro (KIA) katika mkoa wa Kilimanjaro hadi Mererani mkoani
Manyara leo Septemba 20, 2017.
Picha na
IKULU
|
No comments:
Post a Comment