Taswira Picha Rais Nkurunzinza wa Burundi na Mwenyeji wake Dkt. Magufuli walivyowasili Ngara,Kagera. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, July 20, 2017

Taswira Picha Rais Nkurunzinza wa Burundi na Mwenyeji wake Dkt. Magufuli walivyowasili Ngara,Kagera.

Rais wa Taifa la Burundi,Mhe. Pierre Nkurunzinza amewasili Nchini Tanzania katika Wilaya ya Ngara, mkoani Kagera na kupokelewa na Mwenyeji wake Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli na kupigiwa mizinga 21 pamoja na kukagua gwaride lililoandaliwa na JWTZ.



Baada ya mapokezi hayo msafara wa viongozi hao sasa uko Ngara Mjini ambako kunamkutano wa hadhara viwanja vya Posta ya Zamani baada ya mazungumzo mafupi.







No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad