Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiwahutubia mamia ya wananchi wa Mji wa Ngara kwenye
Mkutano wa Hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Posta Mjini Ngara Mkoani Kagera
20 Julai 2017.
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiteta Jambo na Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza
Mara baada ya kumpokea katika Mji wa Ngara kwenye uwanja vya Lemela mjini Ngara
Mkoani Kagera 20 Julai 2017.
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akimkaribisha Rais wa Jamuhuri ya Burundi Mhe. Pierre
Nkurunziza kwa maongezi mjini Ngara Mkoani Kagera 20 Julai 2017.
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli pamoja na ujumbe wake katika mazungumzo maalum ya
kiserikali na Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza na ujumbe wake Mjini Ngara
Mkoani Kagera 20 Julai 2017
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli, Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza pamoja na mama
Janeth Magufuli katika Maongezi.
|
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli pamoja na mgeni wake Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza
wakiwapungia mikono wananchimwa mji wa ngara wakati wakiwasili katika uwanja wa
posta mjini Ngara kwa ajili ya mkutano wa hadhara.
|
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli pamoja na mgeni wake Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza
wakiwapungia mikono wananchi wa mji wa Ngara waliohudhulia katika uwanja wa
posta mjini Ngara kwa ajili ya Mkutano wa hadhara.
|
Umati wa ananchi wa mji wa Ngara waliohudhulia
katika uwanja wa posta mjini Ngara kusikiliza Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa posta mjini
Ngara 20 Julai 2017.
|
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiagana na mgeni wake Rais wa Burundi Mhe. Pierre
Nkurunziza katika uwanja wa Lemela Mjini Ngara Mkoani Kagera 20 Julai 2017
baada ya kumaliza ziara yake Rasmi ya kiserikali Nchini.
PICHA NA IKULU.
|
No comments:
Post a Comment