Katika hatua
nyingine,Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema Serikali haiwezi kujenga
viwanda peke yake bila kuihusisha sekta binafsi ambayo ndiyo mdau mkuu katika
uwekezaji nchini.
Mbowe
amepinga kusudio la Rais John Magufuli kuwanyang’anya wawekezaji viwanda
walivyobinafsishiwa kwa madai kwamba Serikali ilitakiwa kutafuta chanzo cha
kufungwa kwa viwanda hivyo kabla ya kufikia uamuzi wake.
Mwenyekiti
huyo amebainisha sababu mbalimbali zilizofanya viwanda hivyo visifanye kazi
kuwa ni pamoja na kutopatiwa ruzuku na Serikali, teknolojia ya zamani ya
viwanda hivyo na wakati viwanda hivyo vinajengwa kulikuwa na mfumo hodhi wa
soko.
Amesema Rais
Magufuli hana mapenzi na sekta binafsi kwa kuwa anaamini kwamba kila mtu aliye
kwenye sekta binafsi ni “mpiga dili.”
|
Monday, July 31, 2017
CHADEMA- Serikali wekeni Hadharani ripoti za Madini ili Kila Mtu Azisome.
Tags
# SIASA
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
SIASA
Labels:
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment