Profesa
Kabudi amekaririwa katika taarifa hiyo akisema wamejipanga vizuri kujadiliana
na Barrick juu ya madai ya Tanzania katika biashara ya madini ya kampuni hiyo
nchini na itahakikisha inasimamia masilahi ya nchi ipasavyo.
Williams
imeelezwa ameshukuru uwepo wa majadiliano hayo, akisema Barrick imepokea madai
ya Tanzania kwa mtazamo chanya na ipo tayari kujadiliana na kufikia makubaliano
yenye masilahi kwa pande zote mbili.
Rais aliunda
kamati hiyo baada ya kupokea ripoti za kamati zingine mbili, moja ilichunguza
mchanga wa madini (makinikia) na nyingine ya kitaalamu iliyochunguza masuala ya
kisheria na kiuchumi kuhusu mchanga huo unaosafirishwa nje ya nchi.
|
Monday, July 31, 2017
Barrick Gold yaanza Majadiliano na Tanzania.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment