Diamond Platnumz.
Msanii Diamond Platnumz ameeleza baadhi ya
mambo pengine ni vigumu kuyajua kwa kuwa si rahisi kuulizwa katika interview za
kawaida. Kupitia kipindi cha The Grill cha Capital Tv Kenya, Diamond amefunguka
mambo haya 10 ambayo hupaswi kuyakosa.
1. Mchezo
upi wa utotoni unaukumbuka zaidi?.
Jibu: Kibaba baba.
2. Kitu gani
unachojivunia?.
Jibu: Kupendwa.
3. Chakula
gani unapendelea?.
Jibu: Ubwabwa.
4. Ni mstari
upi au wimbo upi usioweza kuhusau?.
Jibu: My Number One.
5. Show yako
ya kipekee ni ipi?
Jibu: Niliyofanya Zambia.
6. Ni jambo
gani au hali iliyokutia aibu?
Jibu: Nilishawahi kumfumania mpenzi wangu wa
zamani.
7. Kama
ukipewa nafasi ya kusafiri sehemu yeyote ulimwengu ungependelea kwenda wapi?.
Jibu: Uk (United Kingdom, Uingereza).
8. Ni
Mwanamuziki yupi anayekuvutia?.
Jibu: Usher Raymond.
9. Hofu yako
kubwa ni ipi?.
Jibu: Kufa na kuwaacha watoto wangu.
10. Kama
ukiwa Rais ni kitu gani cha kwanza kufanya?.
Jibu: (anacheka) Kama nitakuwa Rais nitatengeneza
mfumo ambao utatoa ajira kwa wengi.
|
No comments:
Post a Comment