Anaandika Jackson Fundi-
kuwa...''
-Moja
uzembe wa madereva wetu speed naweza sema za kipumbavu.
-Pili Hakuna
system za uokoaji au ni uzembe mkubwa kwa wahusika, Msaada kwenye hili tukio
imechukua masaa mawili mpaka polisi kuleta gari la kubeba majeruhi na kilometa
Kama 20 kufika Kahama mjini, taarifa ilitumwa in time.
Majeruhi
walikuwa wanachukuliwa na magari ya wasamaria wema. Watu wamepoteza maisha
labda wangewaishwa hospital tungeokoa maisha yao.
|
Kitanda cha Kubebea Mgonjwa.
-Mbaya
zaidi, hospital ndio shida kubwa Sana, mgonjwa kutolewa tu kwenye magari
inachukua dakika zaidi ya 30.
- Mbaya
zaidi hakuna hata first aid iliyotolewa na wauguzi zaidi ya kushangaa.
-Mbaya
kuliko yote angalia kitanda cha magurudumu kilicholetwa, Cha ovyo kina kutu,
tuache hiyo kitanda kina damu ya mtu mwingine tunaweka mgonjwa mwingine mwenye
kubleed, hata basi kutandikwa shuka.
TUTAMLUMU
SANA RAIS JOHN POMBE MAGFULI KUTUMBUA WATU KWA UJINGA HUU.
|
Gari aina ya
Toyota Land Cruiser namba T221 DAP
likiwa limeharibika vibaya kwa mbele baada ya ajali eneo la Ntobo karibu na kijiji cha Segese.
Picha kwa
hisani ya MABALOZI WA USALAMA BARABARANI-RSA TANZANIA.
|
No comments:
Post a Comment