Ajali hii
imetokea eneo la Machinjioni barabara ya Benaco kuelekea Rwanda kabla ya kufika
Boda ya Rusumo wilayani Ngara mkoani Kagera.
|
Chanzo cha
ajali hiyo ni kufeli kwa breki na kusababisha kuyagonga magari mengine mawili.
Ajali hiyo
imelihusisha Lori Mali ya Kampuni ya
MWANAMBOKA na hakuna kifo chochote ,zaidi ya majeruhi.
|
No comments:
Post a Comment