Gari aina ya Toyota Land Cruiser namba T221 DAP likiwa limeharibika vibaya kwa mbele baada ya ajali eneo la Ntobo karibu na kijiji
cha Segese.
|
Mashuhuda wakishuhudia ajali hii imetokea June 02,2017 majira ya saa tatu asubuhi ikilihusisha
gari la abiria aina ya Hiace lenye namba za usajili T 702 CFT iliyokuwa ikitoka
Kakola wilaya ya Msalala Shinyang’a ikielekea Kahama ,Shinyanga kugongana na
gari aina ya Toyota Land Cruiser namba T221 DAP
na imeripotiwa kusababisha vifo 3 na majeruhi waliokimbizwa hospitali ya
wilaya Kahama.
|
No comments:
Post a Comment