Ronaldo amefunga mabao mawili wakati Real
Madrid ikiitwanga Juventus kwa mabao 4-1 na kube Ubingwa wa Ulaya wa Msimu huu wa 2016/2017.
Mabao hayo
mawili yamemfanya amfikie na kumvuka mpinzani wake, Lionel Messi wa Barcelona
ambaye alikuwa na mabao 11.
MISIMU.
2017- Mabao
12
2016- Mabao
16
2015-Mabao
10
2014- Mabao
17
2013-Mabao
13.
|
Nae Kocha wa
Real Madrid, Zinedine Zidane ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kulitetea
Kombe la Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Zidane
ameiongoza timu hiyo kubeba ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa mara ya pili
mfululizo.
Hivyo,
rekodi ya kocha aliyebeba kombe hilo mara mbili au kulitetea inakwenda kwa raia
huyo wa Ufaransa ambaye amewahi kuzichezea kwa mafanikio Juventus na baadaye
Madrid.
|
No comments:
Post a Comment