Mjumbe wa Kamati
Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimpongeza Ninian kwa uamuzi wake wa kurejea
CCM.
|
Baadhi
washiriki wa kikao cha Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Ngara,mkoani Kagera, Mabalozi
na Viongozi kutoka Jumuia zote za CCM wakimpongeza Bi.Ninian Bakari kwa furaha baada ya
kukabidhi kadi yake ya CHADEMA alikohamia mwaka 2015 kwa Alhaj Bulembo wakati wa kikao hicho.
|
Mjumbe wa
Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akisikiliza kwa makini wakati Bi.Ninian
Bakari alipokuwa akieleza yake ya moyoni, alisema aliamua kwenda CHADEMA baada ya kuona CCM ya wakati huo ina mambo
mengi ya hovyo, lakini sasa ameamua kurejea baada ya kuona kuwa Mwenyekiti wa
CCM Rais Dk Magufuli amekisafika Chama.
|
Mjumbe wa
Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abadalla akitoa kadi kwa mmoja wa wanachama hao wapya
71 waliohamia CCM wakati wa kikao hicho.
|
Wengine
waliamua kumkabidhi Alhaj Bulembo hadi bendera ya CHADEMA baada ya kulifunga
tawi lao.
|
Baadhi ya
kadi za CHADEMA zilizorejeshwa kwa Alhaj Bulembo.
|
Mjumbe wa
Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo (kushoto) akishiriki wakati wachama
wapya 71waliohamia CCM wakitokea Chadema, walipokuwa wakila kiapocha Mwana CCM,
baada ya kukabidhiwa kadi za Chama kwenye kikao hicho,hapo Jana June 5,2017.
|
Ukumbi ukilipuka kwa nderemo na vifijo baada ya wanachama hao
wapya kulakiapo.
|
Wajumbe
wakiwa ukumbini kuendelea na kikao baada ya zoezi hilo la kupokea wanachama
wapya 71 wa CCM kutoka CHADEMA.
|
Mbunge wa
Viti Maalum mkoa wa Kagera, Mhe.Oliva Semgurika akisalimia baada ya kutambulishwa
kwenye kikao hicho.
|
Mwenyekitiwa
CCM wilaya ya Ngara Hudson Bagege akifunguakikao hicho. Kulia kwake ni Alhaj Bulembo.
|
Mwenyekiti wa
CCM mkoa wa Kagera, Bi. Constansia Buhiye akimkaribisha Alhaj Bulembo kuzungumza
katika kikao hicho.
|
Mzee Said
Ramadhani Sudi akimkabidhi zawadi Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah
Bulembo kabla ya kuzungumza katika kikao hicho.
|
Mwenyekiti
wa Kamati ya mapokezi Mzee Jason Bahemu akikabidhi zawadi maalum ya kimila kwa
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaji
Abdallah Bulembo kabla ya kuzungumza katika kikao hicho.
|
Mjumbe wa
kamati Kuu ya CCM, Alhajj Abdallah Bulembo akizungumz na Wajumbe wakati wa
kikao hicho cha Wajumbe wa wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Ngara, Mabalozi,
Viongozi wa Jumuia zote za CCM na watendaji wa Serikali.
|
Vijana wa
UVCCM wakimvisha skafu mjumbea wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdalla Bulembo
wakati wa mapokezi kwenye Ofisi ya CCM Wilaya ya Ngara mkoani Kagera Jana June
5,2017.
|
Vijanawa
UVCCM wakionyesha ukakamavu wao wakati wa paredi la mapokezi.
|
Vijana wa
UVCCM na Skauti wakifanya manjonjo yao ilimradi kunogesha mapokezi ya Mjumbea
wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulebo alipowasili Ofis ya CCM Wilaya ya
Ngara mkoani Kagera Jana June 5,2017.
|
Mjumbe wa
Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akiwasalimia baadhi ya viongozi
alipowasili kweneye Ofisi ya CCM Wilaya ya Ngara mkoani Kagera Jana June 5,2017.
Kushoto ni Katibu wa CCM wa Wilaya hiyo Bi.Mwajemi Balagama.
|
Mjumbe wa
Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akiwa na viongozi wengine meza kuu
alipowasili ukumbini baada ya kutoka Ofisi ya CCM Wilaya ya Ngara mkoani Kagera
Hapo Jana June 5,2017.
|
Mjumbe wa
NEC Ngara, Issa Saama akisalimia baada ya kutambulishwa.
|
Wazee
maarufu walioalikwa kwenye kikao hicho wakiwa Ukumbini.
PICHA:
BASHIR NKOROMO
|
No comments:
Post a Comment