Klabu ya
Juventus ya Italia imecheza ugenini usiku wa Jumatano hii dhidi ya FC Monaco
katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali michuano ya Klabu bingwa ulaya na
kuchomoza na ushindi wa mabao 2-0.
Mabao ya
ushindi ya Juventus yalifungwa na Mchezaji Gonzalo Higuain katika dakika ya 29
kipindi cha kwanza na bao la pili Dakika ya 59 kipindi cha pili, na timu hizo
zitarejeana tena mnamo mei 9 mwaka huu.
|
Baada ya
michezo miwili ya nusu fainali ya kuchezwa utafuta mchezo wa fainali
utakaopigwa June 03,2017 mjini Cardiff ukizikutanisha timu zilizofuzu hatua ya
nusu fainali.
HAPA CHINI
TAZAMA VIDEO YA MATUKIO YA MCHEZO KWA KU BOFYA PLAY.
|
No comments:
Post a Comment