Wekundu wa
Msimbazi Simba SC sasa wanafikisha pointi 65 baada ya ushindi wa leo wakiwa
wamecheza mechi 29, mbili zaidi ya mabingwa watetezi, Yanga SC wenye pointi 62,
ambao wanaweza kurudi kileleni kwa mabao zaidi, wakiifunga Mbeya City kesho May 13, 2017 Uwanja wa Taifa.
|
VPL – LIGI
KUU VODACOM TANZANIA BARA-2016/2017.
Jumamosi May
13, 2017
JKT Ruvu v
Maji Maji FC
Tanzania
Prisons v Ndanda FC
Mtibwa Sugar
v Mwadui FC
Yanga SC v
Mbeya City
Jumapili May
14, 2017.
African Lyon
v Ruvu Shooting
Jumanne May
16, 2017
Yanga SC v Toto
Africans
MECHI ZA
MWISHO
Jumamosi May
20, 2017.
Azam FC v
Kagera Sugar
Maji Maji FC
v Mbeya City
Simba SC v
Mwadui FC
Mbao FC v
Yanga SC
Stand United
v Ruvu Shooting
Mtibwa Sugar
v Toto Africans
Tanzania
Prisons v African Lyon
Ndanda FC v
JKT Ruvu
HAPA CHINI GOLI WALILOKOSA SIMBA LITAZAME.
|
No comments:
Post a Comment