Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan akitoa heshima
za mwisho kwenye miili ya wanafunzi 32, walimu Wawili na pamoja na Dereva Mmoja
wa shule ya Lucky Visent katika uwanja wa Shekh Amri Abeid Jijini Arusha.
|
Miili ya
wanafunzi 32, walimu Wawili na pamoja na Dereva Mmoja wa shule ya Lucky Visent
ikiwa katika uwanja wa Shekh Amri Abeid Jijini Arusha kwa ajili ya kuombewa
pamoja na kuagwa Jana May 08,2017.
|
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan akitoa pole kwa
ndugu na jamaa wa marehemu waliofika katika uwanja wa Shekh Amri Abeid Jijini
Arusha kwa ajili ya kuaga miili hiyo.
|
Baadhi ya
viongozi mbalimbali wa Kiserikali na chama wakiwa kwenye uwanja wa Shekh Amri Abeid
Jijini Arusha wakati wa kuaga miili ya wanafunzi 32, walimu Wawili na pamoja na
Dereva Mmoja wa shule ya Lucky Visent.
|
Wanafunzi wa
shule ya Lucky Visent wakiwa kwenye majonzi wakati wa kuaga miili ya wanafunzi
32, walimu Wawili na pamoja na Dereva Mmoja wa shule ya Lucky Visent katika
uwanja wa Shekh Amri Abeid Jijini Arusha.
|
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan akizungumza
wakati wa zoezi la kuaga miili ya wanafunzi 32, walimu Wawili na pamoja na
Dereva Mmoja wa shule ya Lucky Visent katika uwanja wa Shekh Amri Abeid Jijini
Arusha.
Katika hotuba
yake kwa wananchi waliojitokeza kwa wingi katika tukio la kuaga miili hiyo kwa
niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dakta John Pombe Magufuli,
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia waombolezaji kuwa Serikali
ipo pamoja nao katika kipindi hiki kigumu na chenye majonzi mazito kwa
kuondokewa na wapendwa wao.BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI.
|
Baadhi ya
wakazi wa jiji la Arusha wakiwa katika
uwanja wa Shekh Amri Abeid Jijini Arusha kwa ajili ya kuaga miili ya wanafunzi
32, walimu Wawili na pamoja na Dereva Mmoja wa shule ya Lucky Visent waliofariki
kwenye ajali.
|
No comments:
Post a Comment