Picha namba
Juu na Chini, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimvalisha vyeo vipya Inspekta Jenerali wa Polisi(IGP) Simon Sirro kabla ya
kumuapisha Ikulu jijini Dar es Salaam.
|
Inspekta
Jenerali wa Polisi(IGP) Simon Sirro akila kiapo cha uadilifu Ikulu jijini Dar
es Salaam.
Inspekta
Jenerali wa Polisi(IGP) Simon Sirro akisaini Hati ya Kiapo cha Uadilifu Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya
pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John
Kijazi, Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma, Waziri wa Mambo ya
Ndani ya nchi Mwigulu Nchemba,IGP mpya Simon Sirro, IGP wa zamani Ernest Mangu pamoja na viongozi
mbalimbali wa Jeshi la Polisi pamoja na Magereza.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na
Inspekta Jenerali wa Polisi(IGP) Simon Sirro pamoja na IGP wa zamani Ernest
Mangu Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
viongozi mbalimbali wa Majeshi ya Polisi na Jeshi la Wananchi mara baada ya kumuapisha IGP Simon Sirro
Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba mara baada ya tukio la uapisho wa IGP
Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment