Cha ajabu ni
mwezi kama sio zaidi ya mwezi hapa ,hili gari lilipopatia ajali na yale makaa
kumwagika barabarani hakujasafishwa kuondoa kile kifusi sasa najiuliza
mmekiacha pale ili kutokee ajali nyingine au mmekiacha pale kama maonesho?
|
Maana kwanza
ni kwenye kona,pili ni kwenye miteremko anayetokea K9 hawezi kumwona anayetokea
huku Ngara mjini na anayetokea Mjini obvious hawezi mwona anayetokea K9.
Nadhani TANROAD hamko serious na ninyi mnaojiita mabalozi wa usalama barabarani
hili mnashindwa kulisemea kweli?
Ni majuzi tu
nimeshuhudia gari zinakosana kugongana na zote zilikuwa speed. Na bet kabisa
kama hamtatoa hiki kifusi cha haya makaa basi mtegemee ajali mbaya zaidi
itakayokuja kusababishwa na hiki kifusi.
Na-Sinzo Jr Sinzo |
No comments:
Post a Comment