Baada ya
Eneo la Kemondo katika barabara ya Bukoba-Muleba kuharibika na magari kuhamia
barabara ya Katerero kutokea Kyetema pia magari yameshindwa kupita baada ya
gari namba T 913 ASE aina ya Fuso kuharibikia njiani na gari aina ya Benz
Semitrail ( Pichani ) kutaka kupita nalo kukwama na kusababisha Msongamano wa magari na
abiria .
Hata hivyo tatizo hilo limeisharekebishwa na magari yanaendelea na
safari kama kawaida.
|
Meneja wa
Wakala wa Barabara (Tanroads) Mkoa wa Kagera, Bw.Andrew Kasamwa amesema jitihada
zinafanywa kukarabati eneo hilo ili kurejesha mawasiliano.
|
No comments:
Post a Comment